Tilde Biblia
Back to Reading

Wagalatia 2:16

Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.