Back to Reading
Wagalatia 2:6
▼
“Lakini watu hawa wanaosemekana kuwa ni viongozi--kama kweli walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje--watu hawa hawakuwa na kitu cha kuongeza katika Habari hii Njema kama niihubirivyo.”
Want to go deeper?
Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.