Tilde Biblia
Back to Reading

Wagalatia 3:19

Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.