Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 17:8

Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.

Ufunuo wa Yohana 17:8 - Swahili NT (Swahili) | Tilde Biblia | Bibliche - La Biblia Interactiva