Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 22:19

Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, Mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.