Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 4:8

Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!"

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.