Back to Reading
Ufunuo wa Yohana 5:6
▼
“Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani.”
Want to go deeper?
Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.