Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 6:5

Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, "Njoo!" Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.