Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 6:9

Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.