Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 9:11

Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.