Tilde Biblia
Back to Reading

Ufunuo wa Yohana 9:5

Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e.

Want to go deeper?

Launch Tilde AI. Ask a specific question and we'll extract knowledge in real time.